Ahmed amesema baada ya mipango kuharibika ndipo tulipotakiwa kuhakikisha tunashinda mechi zote zilizo mbele yetu huku akiweka wazi haikuwa wazi kuwa haikuwa rahisi kupata pointi tatu mbele ya CS Sfaxien ugenini.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia kiwango cha fundi Jean Charles Ahoua.