Ahmed amesema kutokana na ugumu wa ratiba hakuna muda wa kupumzika hivyo wachezaji wetu itabidi wapambane na kwakuwa malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amefunguka pia kurejea kikosini kwa mshambuliaji, Seleman Mwalimu.