Ahmed amesema kwa sasa tupo kwenye hatua za kumalizana na wachezaji tunaowaacha ambao wamebaki kama watatu kabla ya kuanza kushusha vifaa vipya.
Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia tarehe ya timu kuanza maandalizi ya msimu (Pre Season) na wapi timu itakwenda kuweka kambi.