Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed ataja sababu ya kupoteza dhidi ya Singida

31 May 2025

Ahmed amesema wachezaji ni binadamu na wamepambana kwa kadiri walivyoweza lakini mwisho wa siku wamejikuta wanachoka na hilo ndilo limepelekea kufanya makosa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia mapumziko ya wiki mbili pamoja na mchezo wa Dabi ya Kariakoo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story