Ahmed ameyasema hayo mbele ya maelfu ya mashabiki wetu katika Viwanja vya Mwembeyanga Temeke baada ya kumalizika kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine tulioibuka na ushindi wa mabao 2-0.
News
Videos
VIDEO: Ahmed ataja sababu ya kupambana kuongoza kundi
19 Jan 2025