Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed asimulia miaka mitatu yakuwa msemaji wa Simba

3 Jan 2025

Ahmed amesema miongoni mwa vitu anavyojivunia ni kuifanya Idara yetu ya Habari kuzidi kukubalika kwa Wanasimba pamoja na kuifanya Klabu kufanya vizuri kwenye mitandao ya kijamii.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amesimulia kila kitu tangu siku ya kwanza alipopata nafasi hii.

Advertisement
Back to homepage
Share this story