Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed asema vita ya Ligi ya Mabingwa bado mbichi

25 May 2024

Ahmed amesema katika mchezo wa leo tulitakiwa kupata ushindi mnono zaidi lakini haikuwezekana na sasa tunajipanga na mechi ya kufungia msimu dhidi ya JKT Tanzania.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Ahmed amezungumzia pia viwango vya wachezaji wetu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story