Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed asema tulikuwa na Kisasi na Pamba

8 May 2025

Ahmed amesema tuna kawaida yakutunza kumbukumbu kwa timu zinazotusumbua mwanzoni ili tukikutana nao tunawabadilikia na luwapiga mengi kama kilivyotokea kwa Pamba Jiji.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kiwango cha kiungo mshambuliaji, Joshua Mutale.

Advertisement
Back to homepage
Share this story