Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed asema Michuano ya Mapinduzi imetusaidia

14 Jan 2024

Ahmed amesema Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha amepata nafasi ya kukiona kikosi chake vizuri na kuwajua wachezaji kwa undani katika kipindi cha wiki mbili tulichokuwa Zanzibar.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu usajili na nyota ambao tunatarajia kuwaacha kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story