Ahmed amesema hayo baada ya kutembelea mazoezi ya mwisho yaliyofanyika katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena leo jioni huku akisema maandalizi ya ndani na nje ya uwanja yamekamilika.
Tazama video hii hadi mwisho kuona mipango ya timu yetu kuelekea mchezo muhimu wa kesho.