Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed asema bado hatujamaliza kazi, Awaita Wanasimba Jumapili

14 Jan 2025

Ahmed amesema katika kundi letu ni Constantine ni pekee ambayo hatujaifunga na kwa ukubwa wetu Simba haitapendeza kupoteza mechi uwanja wa Benjamin Mkapa hivyo ni jukumu la kila Mwanasimba kuhakikisha anajitokeza ili kuipa sapoti timu.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amesema safari hii atafanya hamasa ya Tawi kwa Tawi Dar es Salaam nzima.

Advertisement
Back to homepage
Share this story