Ahmed amesema watu wengi walikuwa wanabeza usajili lakini sasa wataanza kumuimba hasa baada ya kuja kwa kocha Abdelhak Benchikha.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Ahmed amezungumzia pia mabadiliko aliyofanya Benchikha ya kuwaingiza Israel Patrick, David Kameta na Abdallah Khamis.