Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed amvulia kofia Karabaka

2 Jan 2024

Ahmed amesema Simba iliona ubora wa nyota huyo kijana na tuliamini anaweza kuwa msaada kwa timu ndio maana tumemsajili na matunda yake yameonekana.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumza pia kuhusu mipango ya timu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story