Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed amezungumzia maandalizi ya mchezo dhidi ya Al Hilal

30 Aug 2024

Ahmed amesema kikosi kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa KMC kama ilivyo kwa wageni Al Hilal na kila kitu kimeenda sawa kinachosubiriwa ni mchezo tu.

Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia wachezaji wa Kimataifa ambao wameitwa timu zao za Taifa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story