Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed amezungumzia hali ya timu nchini Algeria

7 Dec 2024

Ahmed amesema wachezaji wote 22 tuliosafiri nao wapo kwenye hali nzuri hakuna aliyepata changamoto ya kiafya wala kimazingira.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia mipango ya Kocha Fadlu Davids katika mechi nne za mwanzo za makundi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story