Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed amezungumzia hali ya timu baada ya kufika Algeria

5 Dec 2024

Ahmed amesema hali ya hewa nchini Algeria ni baridi kali lakini kwa muda wa saa 72 ambao wachezaji wetu wamepata kabla ya siku ya mechi itasaidia kuwafanya kutokuwa na changamoto kubwa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed atoa ratiba nzima ya timu kuanzia sasa mpaka siku ya mechi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story