Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed amesema timu imeimarika

2 Dec 2023

Ahmed amesema timu ilicheza vizuri muda mrefu kilichoshindikana ni kuweka mpira nyavuni ambapo amemsifu kocha Mkuu Abdelhak Benchikha kwa kuwafanya wachezaji kuwa na stamina.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Ahmed amezungumzia pia kuhusu timu kurejea jijini Dar es Salaam.

Advertisement
Back to homepage
Share this story