Ahmed amesema hatukutarajia kuona jinsi Tabora walivyocheza kutokana na muda mwingi kuzuia hivyo tulitengeneza nafasi nyingi ambazo zilisababisha kufanya makosa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amesema pia ushindi wa leo ni kuwalipa kisasi kwa timu za Dar es Salaam ambazo zimefungwa na Tabora.