Simba Sports Club
News

VIDEO: Ahmed Ally aelezea sababu ya timu kushindwa kusafiri kwenda Morocco

28 Mar 2023

Ahmed amesema baada ya kikosi kuanza safari saa 9 Alasiri kilipitia katika Uwanja wa Kilimanjaro (KIA) ambapo ndipo iligundulika kuna hitilafu hivyo timu italala jijini Arusha na kesho asubuhi kitaanza safari ya kwenda Morocco.

Tazama Video mpaka mwisho ili kuona jinsi Ahmed alivyoeleza kilichotokea kwa undani hadi timu ikashindwa kusafiri.

Advertisement
Back to homepage
Share this story