Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed akubali Al Masry ni mfupa mgumu

28 Mar 2025

Ahmed amesema Al Masry ni timu ngumu na ina malengo kama sisi na pia ipo kwenye kiwango bora lakini tumejiandaa vizuri kuhakikisha tunafanya vizuri.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia hali ya mlinzi wa kati Che Fondoh Malone.

Advertisement
Back to homepage
Share this story