Ahmed amesema Power Dynamos wametupa upinzani mkubwa katika mechi zote mbili lakini malengo yetu yalikuwa kutinga hatua ya makundi na tumefanikiwa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Ahmed amesema pia mpira umebadilika na timu zimejipanga vilivyo kwahiyo tunapaswa kuwa kukubaliana na kila kinachotokea.