Ahmed amesema malengo yetu ni kupata pointi tatu ili kuendelea kujiweka kwenye nzuri ya kumaliza nafasi ya pili wakati Geita wakitaka kujinasua kutoka chini na hilo ndilo linafanya mchezo kuwa mgumu.
Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kurejea kwa nyota wetu wawili Clatous Chama na Luis Miqussone.