Ahmed amesema Uwanja wa Amaan Zanzibar unaingiza mashabiki 15,000 na ukizingatia ni fainali kwahiyo atakayechelewa hataweza kupata tiketi na siku ya mchezo kuna uwezekano mkubwa ukawa tayari uwanja umejaa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amemshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ally Mwinyi kwa kulipia gharama zote za Uwanja wa Amaan Zanzibar.