Ahmed amesema mazungumzo baina ya wachezaji ambao wana mikataba na hatutaendelea nao kwa ajili ya msimu ujao yanaendelea na ndani ya wiki hii zoezi hili litakamilika.
Fuatilia hadi mwisho mahojiano haya ili kujua usajili kabambe ambao tunaendelea kuufanya kwa ajili ya msimu ujao wa ligi 2023/24.