Ahmed amewasifu wachezaji kwa kazi kubwa waliyofanya wa kupambana hadi mwisho kuhakikisha tunapata pointi zote tatu.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya Ahmed pia amewaita mashabiki kujitokeza uwanjani kwakuwa mechi zetu zote zilizosalia tutacheza nyumbani.