Ahmed amesema Benchikha ni aina ya kocha ambaye Simba ilikuwa inamuhitaji na anaamini na anamuombea kufanikiwa zaidi ndani ya kikosi chetu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Ahmed amezungumzia ratiba nzima ya kocha kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Ahmed amesema Benchikha ni aina ya kocha ambaye Simba ilikuwa inamuhitaji na anaamini na anamuombea kufanikiwa zaidi ndani ya kikosi chetu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Ahmed amezungumzia ratiba nzima ya kocha kuanzia asubuhi mpaka jioni.