Ahmed amesema pamoja na kutuhakikishia ushindi kwenye mchezo mgumu lakini pia litasaidia kurejesha hali ya kujiamini kwa Mpanzu mwenyewe baada ya kupitia kipindi kigumu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia mchezo wote kwa undani huku akitaja jinsi wachezaji wa Singida walivyocheza.