Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed afunguka sababu za kusema lazima tucheze fainali mwaka huu

27 Apr 2025

Ahmed amesema haikuwa rahisi kufika hatua hii lakini wachezaji walipambana na na kufuata maelekezo ya benchi la ufundi na kufanya hivyo wanastahili pongezi.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amesema sasa malengo yetu ni kuchukua ubingwa wa Shirikisho Afrika.

Advertisement
Back to homepage
Share this story