Simba Sports Club
News

VIDEO: Ahmed afunguka maboresho ya benchi, adokeza kuhusu Usajili

15 Jun 2023

Ahmed amesema baada ya kuondoka kwa wataalam hao mipango ya klabu ni kuwaleta wapya watakao ungana na benchi la ufundi chini ya kocha Roberto Oliviera 'Robertinho' kabla ya kuanza kwa maandalizi ya msimu (Pre Season).

Angalia hadi mwisho mahojiano haya, Ahmed ameongea pia kuhusu mipango kabambe ya usajili mpya tutakaofanya kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24.

Advertisement
Back to homepage
Share this story