Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed afunguka maandalizi kuelekea mechi dhidi ya Coastal

31 Mar 2026

Ahmed ambaye ameuita 'dabi ya Nyekundu' kutokana na timu zote kuvaa jezi nyekundu zikiwa nyumbani utakuwa mgumu kutokana na historia pamoja na ubora uliopo kwa sasa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed ametaja Viingilio vya mchezo pamoja na kutuma ujumbe kwa mashabiki.

Advertisement
Back to homepage
Share this story