Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed afunguka kuongezwa mikataba kwa Kagoma, De Reuck

9 Mar 2026

Ahmed amesema hakuna yoyote mwenye shaka na uwezo waliionyesha katika kipindi chote tangu watue kikosini ndio maana tumewaongeza mkataba.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya Singida Black Stars utakaopigwa keshokutwa Jumatano.

Advertisement
Back to homepage
Share this story