Ahmed amesema matokeo ya mchezo uliopita dhidi Horoya yametupa somo na yametufanya kuongeza makini ili kuhakikisha haturudii makosa.
Ahmed ameongeza kuwa tunajua mpira una matokeo matatu lakini sisi Jumamosi tunahitaji ushindi pekee dhidi ya Raja.
Ahmed amesema matokeo ya mchezo uliopita dhidi Horoya yametupa somo na yametufanya kuongeza makini ili kuhakikisha haturudii makosa.
Ahmed ameongeza kuwa tunajua mpira una matokeo matatu lakini sisi Jumamosi tunahitaji ushindi pekee dhidi ya Raja.