Ahmed amesema kikosi kimekamilika baada ya wachezaji wote waliokuwa majeruhi kufanya mazoezi na wenzao hivyo benchi la ufundi litakuwa na wigo mpana wa kupanga kikosi.
Tazama mpaka mwisho video hii Ahmed ameeleza kila kitu kuhusu mchezo wa kesho.
Ahmed amesema kikosi kimekamilika baada ya wachezaji wote waliokuwa majeruhi kufanya mazoezi na wenzao hivyo benchi la ufundi litakuwa na wigo mpana wa kupanga kikosi.
Tazama mpaka mwisho video hii Ahmed ameeleza kila kitu kuhusu mchezo wa kesho.