Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed aelezea kuhusu nyota waliokuwa Stars kujiunga na timu

29 Jan 2024

Taifa Stars imerejea nchini leo asubuhi kutoka Ivory Coast ilipokuwa inashiriki michuano ya AFCON ambapo nyota wetu wamepewa siku moja ya mapumziko na kesho watajiunga na wenzao.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia ugumu wa ratiba katika mwezi Februari.

Advertisement
Back to homepage
Share this story