Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed aelezea hali ya Kikosi mkoani Tabora

5 Feb 2024

Ahmed amesema hali ya uwanja katika eneo la kucheza (Pitch) sio rafiki sana kutokana nakuwa na matope katika baadhi ya sehemu lakini tumejipanga kuhakikisha tunacheza kutokana na mazingira yaliyopo.

Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kurejea Kikosini kwa kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma.

Advertisement
Back to homepage
Share this story