Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Ahmed aelezea Hali ya Kikosi, Chama atua, Inonga Kesho

12 Sep 2023

Ahmed amesema wachezaji waliokuwa kwenye majukumu ya timu za taifa wameanza kurejea, wale wa Stars wamefika jana leo kiungo mshambuliaji, Clatous Chama amejiunga na wenzake huku Henock Inonga akitarajia kuwasili kesho asubuhi.

Tazama mahojiano haya mpaka mwisho kujua maandalizi ya mchezo pamoja na mipango ya timu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story