Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Afurahia kuingia makundi mara ya sita

22 Sep 2024

Ahmed amesema bao la jioni lililofungwa na Edwin Balua limemfurahisha sana na limefanya sauti yake kukauka kwa kushangilia.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amekumbushia ushindi tuliopata dhidi ya Nkana Red Devils.

Advertisement
Back to homepage
Share this story