Abbas amesema moja ya changamoto aliyowahi kupitia katika kazi yake ya uratibu ni alivyokwenda nchini Niger ambapo alitafuta Hoteli kwa ajili ya timu lakini ilikuwa haina hadhi kwa ukubwa wa Simba lakini kwao ilikuwa ni Hoteli kubwa.
Fuatilia mahojiano haya mpaka mwisho Abbas amezungumzia historia yake yote ya maisha ya soka.