Simba Sports Club
News

Tundaman anogesha Wenye Nchi Beach Party

5 Mar 2023

Tundaman amekuwa pamoja nasi kwenye mambo mengi ikiwemo hamasa mbalimbali kuelekea kwenye mechi zetu za Ligi ya Mabingwa.

Baada ya kufika katika Viwanja vya Coco Beach, Tundaman alienda moja kwa moja kwenye gari la matangazo na kuchukua kipaza kushusha burudani.

Advertisement

Muitikio wa Wanasimba ni mkubwa katika Wenye Nchi Beach Party huku wakinunua tiketi kwa wingi pamoja jezi.

Back to homepage
Share this story