Mchezo huo utakuwa kama kisasi kwa kuwa katika mechi zote mbili za msimu huu tulizokutana zilimalizika kwa sare ya bila kufungana.
Julai 12 mwaka 2020 tulikutana katika mchezo wa robo fainali kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo tuliibuka na ushindi wa mabao 4-1.
Advertisement
Katika mchezo huo tutahakikisha tunapata ushindi na kutinga fainali ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kutetea taji letu.