Simba Sports Club
News

Tunakutana na Yanga Mei 28 Kirumba

16 May 2022

Mchezo huo utakuwa kama kisasi kwa kuwa katika mechi zote mbili za msimu huu tulizokutana zilimalizika kwa sare ya bila kufungana.

Julai 12 mwaka 2020 tulikutana katika mchezo wa robo fainali kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo tuliibuka na ushindi wa mabao 4-1.

Advertisement

Katika mchezo huo tutahakikisha tunapata ushindi na kutinga fainali ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kutetea taji letu.

Back to homepage
Share this story