Simba Sports Club
News

Tunakutana na JKT Tanzania ASFC

30 Nov 2021 By simbasc 1,463 views

Timu yetu imepangwa kucheza na JKT Tanzania katika mchezo wa raundi ya tatu ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC).

Katika droo ambayo imefanyika leo Simba tutakuwa wenyeji na mchezo huo utakaopigwa Desemba 15 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Advertisement

Tukiwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo msimu huu tumejipanga kuhakikisha tunatetea ubingwa wetu.

Back to homepage
Share this story