Mchezo dhidi ya Al-Adalah ni wa mwisho wa kirafiki hapa Misri na Julai 31 kikosi kitaanza safari ya kurejea nchini.
Jana tumecheza mechi ya pili ya kirafiki dhidi ya Telecom na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.
Advertisement
Kocha Fadlu Davids anaendelea kutengeneza muunganiko wa wachezaji ndani ya timu hasa ukilinganisha wengi wao ni wageni ndani ya timu.