Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa tutafungua msimu kwa kucheza na Tabora United huku sisi tukiwa wenyeji.
Msimu huu tutatumia Uwanja wa Manispaa ya Kinondoni (KMC) kwa mechi zetu za nyumbani baada ya kupitishwa na Bodi ya Ligi.
Hizi hapa mechi zetu tano za mwanzo za Ligi
Agosti 18, Simba vs Tabora United
Agosti 25, Simba vs Fountain Gate
Advertisement
Oktoba 22, Tanzania Prisons vs Simba
Azam FC vs Simba (Haujapangiwa tarehe)
Simba vs Namungo (Haujapangiwa tarehe)
Mchezo wa kwanza wa dabi ya Kariakoo dhidi ya watani wa jadi Yanga utapigwa Oktoba 19 ambapo sisi ndio tutakuwa wenyeji.