Katika ratiba hiyo sisi tutaanzia ugenini Agosti 17 kuikabili Mtibwa Sugar katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro.
Mchezo wetu wa watani wa jadi umepangwa kufanyika Novemba 5 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11 jioni ambapo sisi tutakuwa wenyeji.
Advertisement
Tunafahamu ligi ya msimu huu itakuwa ngumu kutokana na kila timu kujipanga vilivyo lakini tumejipanga kuhakikisha tunafanya vizuri kila mchezo.