Simba Sports Club
News

Tunaanza Ligi na Geita Gold

3 Aug 2022

Baada ya mchezo wa ufunguzi wa Ngao ya Jamii dhidi Yanga Oktoba 13 tutakaa siku nne kabla ya kushuka tena dimbani kucheza na Geita.

Mechi zetu tano za kwanza

Geita (nyumbani)

Kagera Sugar (nyumbani)

Advertisement

KMC (nyumbani)

Tanzania Prisons (ugenini)

Mbeya City (ugenini)

Back to homepage
Share this story