Uzinduzi wa jezi hizo bora na za kisasa zimefanywa na Mtendaji Mkuu wa Klabu Imani Kajula, Mzee Hassan Dalali na Meneja Habari na Mawasiliano Ahmed Ally katika Mbuga za Wanyama Mikumi.
Kama kawaida na utaratibu wetu jezi ya nyumbani itakuwa ni nyekundu, ugenini nyeupe na jezi namba ni bluu.
Advertisement
Baada ya uzinduzi wa jezi hizo kukamilika tayari zimeanza kuuzwa kwenye maduka yote ya Sandaland The Only One nchi nzima.