Simba Sports Club
News

Tumewaaga nyota 10 kuelekea msimu mpya wa mashindano

23 Jul 2024

Tunaendelea kusuka kikosi imara ambacho kitatuwezesha kufanya vizuri kwenye ligi ya ndani pamoja pamoja michuano ya Kimataifa.

Tunathamini mchango wao kwakuwa wamesaidia kwa kiasi kikubwa kutufanya tumeibuka na Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL).

Wachezaji tuliowaaga ni

Zubeda Mgunda

Zainabu Mohamed

Koku Kipanga

Wema Richard

Advertisement

Silvia Thomas

Diana Mnally

Danai Bhobho

Joanitah Ainembabazi

Diakiese Kaluzodi

Olaiya Barakat

Simba tunawatakia kheri nyota hao katika maisha ya mapya na mara zote tutakumbuka mchango wao ndani ya timu.

Back to homepage
Share this story