Simba Sports Club
News Videos

Tumeviweka hadharani viingilio vya mchezo dhidi ya ASEC

16 Nov 2023

Tumeweka hadharani viingilio vya mchezo huo,

Hivi hapa viingilio

Mzunguko - Tsh. 5,000.

VIP C - Tsh. 10,000.

VIP B - Tsh. 20,000.

Advertisement

VIP A - Tsh. 30,000

Platinum - Tsh. 150,000

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa kwa njia za mtandao.

Kuelekea mchezo huo tumekuja na Slogan ya "Twendeni Kinyama, Mashabiki Bomba" lengo ni kuonyesha kuthamini mchango wa mashabiki wetu.

Back to homepage
Share this story