Simba Sports Club
News

Tumetinga Fainali ya Kombe la Mapinduzi

10 Jan 2024

Elvis Rupia aliwapatia Singida bao la mapema dakika ya 11 baada ya mlinzi wetu Kennedy Juma alikosea kwa kumpa mpira Marouf Tchakei ambaye alitoa pasi kwa mfungaji.

Kipindi cha pili tuliongeza kasi ya kutafuta bao la kusawazisha lakini Singida walikuwa makini katika safu ya ulinzi kuhakikisha wanakuwa salama muda wote.

Fabrice Ngoma alitupatia bao la kusawazisha dakika ya mwisho ya nyongeza baada ya mpira na kona uliopigwa na Saido Ntibazonkiza kuokolewa kabla ya kumkuta mfungaji akiwa ndani ya 18.

X1: Ally Salim, Kapombe, Israel Patrick, Che malone, Kennedy (Kazi 45:), Ngoma, Babacar (Miqussone 60'), Kanoute, Baleke (Phiri 45'), Ntibazonkiza, Onana (Karabaka 76')

Advertisement

Walionyeshwa kadi

X1: Ibrahim, Kijili, Gadiel, Mangalo, Carno, Kagoma (Hamad 65'), Chukwu, Kaseke, Tchakei (Kadikilo 89'), Rupia (Kagere 72'), Abuya

Walioonyeshwa kadi: Gadiel 45' Mangalo 51, Kaseke 89'

Back to homepage
Share this story