Simba Sports Club
News

Tumeruhusiwa kujaza uwanja dhidi ya Orlando, viingilio vyatajwa

8 Apr 2022

CAF imekuwa na utaratibu wa kuruhusu idadi chache ya mashabiki kwa sababu ya tahadhari juu ya ugonjwa wa Covid-19.

Hii ni mara ya kwanza baada ya kupita muda mrefu kuruhusiwa kujaza uwanja tangu lilipoingia janga la ugonjwa huo.

Viingilio vimetangazwa kama ifuatavyo:

VIP A Sh 30,000

Advertisement

VIP B Sh 20,000

VIP C Sh 10,000

Mzunguko Sh 3,000

Tiketi zimeanza kuuzwa leo kupitia mitandao ya simu na lengo letu ni kuhakikisha tunaujaza uwanja ili Orlando wavute pumzi ya moto.

Back to homepage
Share this story